Sunday, December 1, 2013

HIVI NDIVYO WELCOME FIRST YEAR PARTY-2013 ILIVYOFANA.

Leo tar 30/11/2013 Kumefanyika Sherehe ya Kuwakaribisha Wana TFSA Mwaka wa Kwanza hapa Chuoni katika PUB Ya SUASA.
Sherehe hiyo iltanguliwa na Wanachama kushiriki shughuli ya Kutoa Magugu katika Moja ya Eneo la CHUO lililo karibu na Bwawa la Maji-MINDU Hapa Morogoro.

KULIA: Prof Ngaga,Dean wa Kitivo cha Misitu na Hifadhi ya mazingira ambaye Pia ni Mlezi wa TFSA Alikua Mgeni rasimi.
Aliwasihi Wanachama kutumia Fursa mbalimbali kupitia TFSA Ili kujifunza na Kushiriki katika Kazi mbalimbali zinazoendeshwa na TFSA Kwa ajili ya Maendeleo ya Sasa na Baadae.

             





                   Wanachama wa TFSA Wakimsikiliza kwa Makini Mlezi wa Chama Prof Ngaga.



                         Baada ya Hotuba ya Mgeni Rasimi ikafata Burudani ya Mziki(Kwaito)
                Ikafatia Fund Rising kupitia Keki iliyoanadaliawa kwa UMARIDADI Zaidi.


                   Ikafika Wakati wa kupata CHAKULA Kilichoandaliwa kwa Umakini wa hali ya Juu.
                                                     Acha kabisa,ilikua raha bila Karaha!

No comments: