Thursday, November 15, 2012

PREPARATIONS FOR WELCOME FIRST YEAR PARTY

        (PHOTOS AND STORY BY Mr.BALELE)

TO BE HAPPENING ON 16/N0V/2012

AT

SAVOY HOTEL-MOROGORO


 Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya sherehe hiyo Bwn Oyugi akiwa na Katibu wake ktk moja ya vikao vya maandalizi ya sherehe hiyo

 Wanakamati wakifatilia kwa makini moja ya kikao cha maandalizi ya sherehe hiyo ktk ukumbi wa Roundcafeteria SUA

                                                   Wanakamati ktk moja ya vikao


Mr.Ali Juma(kulia)- FACULTY representative akifatilia kwa makini ktk moja ya vikaohivyo.
Viongozi wa TFSA, Makamu mwenyekiti  na Katibu mkuu wakifatilia kwa makini ktk moja yakikao hicho
Viongozi Wa TFSA(Mwenyekiti,Makamu mwenyekiti na Katibu mkuu) wakifatilia kwa makini ktk moja yakikao
Mr.Obadia ktk moja yakikao







                                                                     Wanakamati



   wanakamati wakifatilia kwa makini mchanganuo wa gharama za sherehe hiyo 

No comments: